Ijumaa, 10 Aprili 2026

KUMPENDA MUNGU

 MTUNZI: REV.AMOS

SIMU: +255759199463

SOMO:

KUMPENDA MUNGU.

➖Ni kuzishika Amri zake.

➖Ni kuyatenda mapenzi ya Mungu.

👇👇👇

YOHANA 14:15

"Mkinipenda, mtazishika amri zangu"

👇👇👇

YOHANA 15:10.

"Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake"


➖Amri za MUNGU ni maagizo ya Mungu..

➖ Kuzishika Amri za MUNGU ndiyo kumpenda MUNGU.

👇👇👇

I YOHANA 5:3

"Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito"


➖ Kumpenda MUNGU ni kukubali kuyapokea MAONYO ya MUNGU.

👇👇👇

MITHALI 1:23

"Geukeni kwa ajili ya maonyo yangu; 

Tazama, nitawamwagia roho yangu, 

Na kuwajulisheni maneno yangu"


___________ Mwisho ___________

E-mail: pasteronesmo@gmail.com

+255759199463

+255625313609

Alhamisi, 5 Machi 2026

YESU NI SULUHISHO

 MTUNZI: REV.AMOS

SIMU/WHATSAPP: +255759199463

SOMO:

YESU NI SULUHISHO.

👇👇👇👇

 *MAOMBOLEZO 3:25* 

"BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, 

Kwa hiyo nafsi imtafutayo"

➡️Yesu ni MWEMA maishani mwetu.


➖Maisha ya mwanadamu yana changamoto nyingi zinazohitaji ufumbuzi.

➖Yesu huleta ufumbuzi wa changamoto za Maisha yetu.

➖Uwepo wa Yesu katika maisha yako ni ufumbuzi wa changamoto zako.

➖Mpe nafasi Yesu afanyike SULUHISHO.

➖Pale akili yako inapofika mwisho ndipo Neema ya MUNGU inapojidhihirisha kwako.

➖YESU NI SULUHISHO LA SHIDA YAKO, MPE NAFASI NA FUATA MAELEKEZO.

➖Uwepo wa Yesu katika Arusi ya KANA ulileta SULUHISHO LA DIVAI ILIPOISHA.

👇👇👇👇👇

*YOHANA 2:1-10* 

[1]Na siku ya tatu palikuwa na arusi huko Kana, mji wa Galilaya; naye mama yake Yesu alikuwapo. 


[2]Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake. 


[3]Hata divai ilipowatindikia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai. 


[4]Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia. 


[5]Mamaye akawaambia watumishi, Lo lote atakalowaambia, fanyeni. 


[6]Basi kulikuwako huko mabalasi sita ya mawe, nayo yamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi ya kutawadha, kila moja lapata kadiri ya nzio mbili tatu. 


[7]Yesu akawaambia, Jalizeni mabalasi maji. Nao wakayajaliza hata juu. 


[8]Akawaambia, Sasa tekeni, mkampelekee mkuu wa meza. Wakapeleka. 


[9]Naye mkuu wa meza alipoyaonja yale maji yaliyopata kuwa divai, (wala asijue ilikotoka, lakini watumishi walijua, wale walioyateka yale maji), yule mkuu wa meza alimwita bwana arusi, 


[10]akamwambia, Kila mtu kwanza huandaa divai iliyo njema; hata watu wakiisha kunywa sana ndipo huleta iliyo dhaifu; wewe umeiweka divai iliyo njema hata sasa.


➖Fuata maelekezo ya Yesu afanyike SULUHISHO.

➖Mama wa Yesu (Mariam), aliwaeleza watu wafuate maelekezo atakayoyatoa Yesu ili kupata SULUHISHO LA DIVAI, nami nasema FUATA MAELEKEZO 

➖YESU YUKO KARIBU YETU 

👇👇👇👇

*YEREMIA 23:23* 

[23]Mimi ni Mungu aliye karibu, asema BWANA, mimi si Mungu aliye mbali.


___________ Mwisho ___________

E-mail: pasteronesmo@gmail.com

+255759199463

+255625313609

Jumatano, 25 Februari 2026

NGUVU ZA KIROHO

 MTUNZI: REV.AMOS

SIMU/WHATSAPP: +255759199463

SOMO:

IMARISHA ASILI YA NGUVU ZAKO.

➖ NGUVU ni uwezo wa utendaji wa jambo.

➖Kuna aina mbali mbali za nguvu kama vile:- 

       i. Nguvu ya kiuchumi

      ii. Nguvu za ki-mwili

      iii. Nguvu za KIROHO n.k


➡️Shetani ili akuharibu anatafuta kwanza ASILI ya nguvu ZAKO.

WAAMUZI 16:4-5

👇👇👇👇

[4]Ikawa baada ya hayo akampenda mwanamke mmoja katika bonde la Soreki, jina lake akiitwa Delila. 


[5]Nao wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakamwambia, Mbembeleze, upate kujua asili ya nguvu zake nyingi, na jinsi tutakavyoweza kumshinda, tupate kumfunga na kumtesa; nasi tutakupa kila mtu fedha elfu na mia moja.


➖ Samson alipelelezwa na Mke wake ili kujua ASILI ya nguvu zake nyingi.

➖ Shetani akifanikiwa kujua ASILI ya nguvu ZAKO amekuweza.


➡️Chanzo cha Nguvu za Samson kilipogundulika Samson aliteswa.


WAAMUZI 16:19-21

👇👇👇👇

[19]Naye akamlaza usingizi magotini pake. Kisha akamwita mtu akavinyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake; akaanza kumsumbua, nguvu zake zikamtoka. 


[20]Kisha akasema, Samsoni, Wafilisti wanakujia. Akaamka katika usingizi wake, akasema, Nitakwenda nje kama siku nyingine, na kujinyosha. Lakini hakujua ya kuwa BWANA amemwacha. 


[21]Wafilisti wakamkamata, wakamng’oa macho; wakatelemka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.


ASILI YA NGUVU YA MKRISTO.

1. KUHUDHURIA IBADA 

➖Kila ibada ina faida katika maisha ya MKRISTO.

➖ Katika ibada kuna jambo unapokea la kukutia NGUVU ili uweze kuendelea mbele.

👇👇👇

WAEBRANIA 10:25

[25]wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.


2. MAOMBI MENGI NA MIFUNGO MINGI.

➖Kwa maombi tunapokea NGUVU za KIROHO.

➖Omba bila KUKATA TAMAA 

👇👇👇👇

LUKA 18:1

[1]Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


3. UJAZO WA ROHO MTAKATIFU.

➖Roho Mtakatifu ni NGUVU.

➖Omba kujawa Roho Mtakatifu maana yeye ni NGUVU.

👇👇👇👇

MATENDO YA MITUME 1:8

[8]Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


4. IMANI.

➖Imani ni NGUVU.

➖Kiwango chako cha imani ndiyo NGUVU yako ya KIROHO.


➡️AINA ZA IMANI.

a) Imani haba/Pungufu 

MATHAYO 8:26

[26]Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


b) Imani kias cha punje ya haradali.

MATHAYO 17:20

[20]Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu.


c) Imani timilifu 

I WAKORINTHO 13:2

[2]Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.


d) Imani kubwa 

MATHAYO 15:28

[28]Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.



SWALI:

➡️Umebeba Imani ipi?


KUMBUKA:

➡️Imani yako, Nguvu yako


___________ Mwisho ___________

E-mail: pasteronesmo@gmail.com

+255759199463

+255625313609

VITA DHIDI YA MAJIBU YAKO

 MTUNZI: REV.AMOS

SIMU/WHATSAPP: +255759199463


SOMO:

VITA DHIDI YA MAJIBU YAKO.

➖ Mpendwa kupokea majibu ya MUNGU maishani kuna vita katika ulimwengu wa Roho.

➖Mara nyingi Adui anakutegea kwenye wakati wako wa kupokea.

➖Adui anakuwekea vizuizi katika ulimwengu wa Roho ili usipokee, KATAA KWA JINA LA YESU.

➖MUNGU ANATUWAZIA MEMA.

👇👇👇👇👇

YEREMIA 29:11-12

[11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho. 


[12]Nanyi mtaniita, mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza.


➖ Katika mapito yote, ukimlilia MUNGU yeye anasikia.

👇👇👇👇

KUTOKA 22:23

[23]Ukiwatesa watu hao katika neno lo lote, nao wakanililia mimi, hakika yangu nitasikia kilio chao,


➖MAJIBU YA DANIEL YALIKUTANA NA VITA KUBWA.

👇👇👇👇

DANIEL 10:11-13

[11]Akaniambia, Ee Danieli, mtu upendwaye sana, yafahamu maneno nikuambiayo, ukasimame kiwima-wima; maana kwako nimetumwa sasa. Na aliponiambia neno hili, nalisimama nikitetemeka. 


[12]Ndipo akaniambia, Usiogope, Danieli; kwa maana tangu siku ile ya kwanza ulipotia moyo wako ufahamu, na kujinyenyekeza mbele za Mungu wako, maneno yako yalisikiwa; nami nimekuja kwa ajili ya maneno yako. 


[13]Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga siku ishirini na moja; bali, tazama, huyo Mikaeli, mmoja wa hao wakuu wa mbele, akaja kunisaidia; nami nikamwacha huko pamoja na wafalme wa Uajemi.


➖ Mpendwa, komboa wakati wako wa kupokea.

➖Kuna Adui amekutegea siku ya kujifungua kwako, Siku ya kuanza KAZI katika Ofisi hiyo, Siku ya malipo yako n.k

➖KATAA MAJIBU YAKO KUCHELEWA.

➖VUNJA ROHO ZA VIZUIZI KATIKA MAISHA YAKO.

➖OMBA MUNGU AKUTUMIE MALAIKA WA KUKULETEA MAJIBU.


Barikiwa!!!


___________ Mwisho ___________

E-mail: pasteronesmo@gmail.com

+255759199463

+255625313609

IMARISHA ASILI YA NGUVU ZAKO

 MTUNZI: REV.AMOS

SIMU/WHATSAPP: +255759199463

SOMO:

IMARISHA ASILI YA NGUVU ZAKO.

➖ NGUVU ni uwezo wa utendaji wa jambo.

➖Kuna aina mbali mbali za nguvu kama vile:- 

       i. Nguvu ya kiuchumi

      ii. Nguvu za ki-mwili

      iii. Nguvu za KIROHO n.k


➡️Shetani ili akuharibu anatafuta kwanza ASILI ya nguvu ZAKO.

WAAMUZI 16:4-5

👇👇👇👇

[4]Ikawa baada ya hayo akampenda mwanamke mmoja katika bonde la Soreki, jina lake akiitwa Delila. 


[5]Nao wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakamwambia, Mbembeleze, upate kujua asili ya nguvu zake nyingi, na jinsi tutakavyoweza kumshinda, tupate kumfunga na kumtesa; nasi tutakupa kila mtu fedha elfu na mia moja.


➖ Samson alipelelezwa na Mke wake ili kujua ASILI ya nguvu zake nyingi.

➖ Shetani akifanikiwa kujua ASILI ya nguvu ZAKO amekuweza.


➡️Chanzo cha Nguvu za Samson kilipogundulika Samson aliteswa.


WAAMUZI 16:19-21

👇👇👇👇

[19]Naye akamlaza usingizi magotini pake. Kisha akamwita mtu akavinyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake; akaanza kumsumbua, nguvu zake zikamtoka. 


[20]Kisha akasema, Samsoni, Wafilisti wanakujia. Akaamka katika usingizi wake, akasema, Nitakwenda nje kama siku nyingine, na kujinyosha. Lakini hakujua ya kuwa BWANA amemwacha. 


[21]Wafilisti wakamkamata, wakamng’oa macho; wakatelemka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.


ASILI YA NGUVU YA MKRISTO.

1. KUHUDHURIA IBADA 

➖Kila ibada ina faida katika maisha ya MKRISTO.

➖ Katika ibada kuna jambo unapokea la kukutia NGUVU ili uweze kuendelea mbele.

👇👇👇

WAEBRANIA 10:25

[25]wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.


2. MAOMBI MENGI NA MIFUNGO MINGI.

➖Kwa maombi tunapokea NGUVU za KIROHO.

➖Omba bila KUKATA TAMAA 

👇👇👇👇

LUKA 18:1

[1]Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


3. UJAZO WA ROHO MTAKATIFU.

➖Roho Mtakatifu ni NGUVU.

➖Omba kujawa Roho Mtakatifu maana yeye ni NGUVU.

👇👇👇👇

MATENDO YA MITUME 1:8

[8]Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


4. IMANI.

➖Imani ni NGUVU.

➖Kiwango chako cha imani ndiyo NGUVU yako ya KIROHO.


➡️AINA ZA IMANI.

a) Imani haba/Pungufu 

MATHAYO 8:26

[26]Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


b) Imani kias cha punje ya haradali.

MATHAYO 17:20

[20]Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu.


c) Imani timilifu 

I WAKORINTHO 13:2

[2]Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.


d) Imani kubwa 

MATHAYO 15:28

[28]Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.



SWALI:

➡️Umebeba Imani ipi?


KUMBUKA:

➡️Imani yako, Nguvu yako


___________ Mwisho ___________

E-mail: pasteronesmo@gmail.com

+255759199463

+255625313609

IMARISHA ASILI YA NGUVU ZAKO

MTUNZI: REV.AMOS

SIMU/WHATSAPP: +255759199463

SOMO:

IMARISHA ASILI YA NGUVU ZAKO.

➖ NGUVU ni uwezo wa utendaji wa jambo.

➖Kuna aina mbali mbali za nguvu kama vile:- 

       i. Nguvu ya kiuchumi

      ii. Nguvu za ki-mwili

      iii. Nguvu za KIROHO n.k


➡️Shetani ili akuharibu anatafuta kwanza ASILI ya nguvu ZAKO.

WAAMUZI 16:4-5

👇👇👇👇

[4]Ikawa baada ya hayo akampenda mwanamke mmoja katika bonde la Soreki, jina lake akiitwa Delila. 


[5]Nao wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakamwambia, Mbembeleze, upate kujua asili ya nguvu zake nyingi, na jinsi tutakavyoweza kumshinda, tupate kumfunga na kumtesa; nasi tutakupa kila mtu fedha elfu na mia moja.


➖ Samson alipelelezwa na Mke wake ili kujua ASILI ya nguvu zake nyingi.

➖ Shetani akifanikiwa kujua ASILI ya nguvu ZAKO amekuweza.


➡️Chanzo cha Nguvu za Samson kilipogundulika Samson aliteswa.


WAAMUZI 16:19-21

👇👇👇👇

[19]Naye akamlaza usingizi magotini pake. Kisha akamwita mtu akavinyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake; akaanza kumsumbua, nguvu zake zikamtoka. 


[20]Kisha akasema, Samsoni, Wafilisti wanakujia. Akaamka katika usingizi wake, akasema, Nitakwenda nje kama siku nyingine, na kujinyosha. Lakini hakujua ya kuwa BWANA amemwacha. 


[21]Wafilisti wakamkamata, wakamng’oa macho; wakatelemka naye mpaka Gaza, wakamfunga kwa vifungo vya shaba; naye alikuwa akisaga ngano katika gereza.


ASILI YA NGUVU YA MKRISTO.

1. KUHUDHURIA IBADA 

➖Kila ibada ina faida katika maisha ya MKRISTO.

➖ Katika ibada kuna jambo unapokea la kukutia NGUVU ili uweze kuendelea mbele.

👇👇👇

WAEBRANIA 10:25

[25]wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.


2. MAOMBI MENGI NA MIFUNGO MINGI.

➖Kwa maombi tunapokea NGUVU za KIROHO.

➖Omba bila KUKATA TAMAA 

👇👇👇👇

LUKA 18:1

[1]Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


3. UJAZO WA ROHO MTAKATIFU.

➖Roho Mtakatifu ni NGUVU.

➖Omba kujawa Roho Mtakatifu maana yeye ni NGUVU.

👇👇👇👇

MATENDO YA MITUME 1:8

[8]Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


4. IMANI.

➖Imani ni NGUVU.

➖Kiwango chako cha imani ndiyo NGUVU yako ya KIROHO.


➡️AINA ZA IMANI.

a) Imani haba/Pungufu 

MATHAYO 8:26

[26]Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


b) Imani kias cha punje ya haradali.

MATHAYO 17:20

[20]Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu.


c) Imani timilifu 

I WAKORINTHO 13:2

[2]Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.


d) Imani kubwa 

MATHAYO 15:28

[28]Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.



SWALI:

➡️Umebeba Imani ipi?


KUMBUKA:

➡️Imani yako, Nguvu yako


___________ Mwisho ___________

E-mail: pasteronesmo@gmail.com

+255759199463

+255625313609