Ijumaa, 10 Aprili 2026

KUMPENDA MUNGU

 MTUNZI: REV.AMOS

SIMU: +255759199463

SOMO:

KUMPENDA MUNGU.

➖Ni kuzishika Amri zake.

➖Ni kuyatenda mapenzi ya Mungu.

👇👇👇

YOHANA 14:15

"Mkinipenda, mtazishika amri zangu"

👇👇👇

YOHANA 15:10.

"Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake"


➖Amri za MUNGU ni maagizo ya Mungu..

➖ Kuzishika Amri za MUNGU ndiyo kumpenda MUNGU.

👇👇👇

I YOHANA 5:3

"Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito"


➖ Kumpenda MUNGU ni kukubali kuyapokea MAONYO ya MUNGU.

👇👇👇

MITHALI 1:23

"Geukeni kwa ajili ya maonyo yangu; 

Tazama, nitawamwagia roho yangu, 

Na kuwajulisheni maneno yangu"


___________ Mwisho ___________

E-mail: pasteronesmo@gmail.com

+255759199463

+255625313609