Ijumaa, 19 Septemba 2025

ULINZI WA MWANAUME JUKUMU LA MWANAMKE

 MWL: REV.AMOS

CONT: +255625313609

E-MAIL: pasteronesmo@gmail.com


SOMO: 

ULINZI WA MWANAUME.

➖Ulinzi ni kuweka kitu katika hali salama.

➖Mungu alimwekea mwanaume ulinzi muhimu.

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Yeremia 31:22

"Hata lini utatanga-tanga, Ee binti mwenye kuasi? Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume"


➖Mwanamke ni mlinzi wa Mme katika ulimwengu wa kiroho.

➖Mwanamke fahamu wajibu wako. Mme halindwi kwa:-

1. Matusi

2. Kejeli

3. Magomvi

4. Mashitaka na shutuma

5. Kumdhalilisha

6. Kufoka

7. Kumshusha thamani kwa kumfedhehesha n.k


➖Mme hulindwa kwa:-

1. Maombi

2. Utii

3. Kutimiza wajibu wako kwake.

4. Kauli njema

5. Hekima n.k


✳️MWANAMKE ZINGATIA HILI, MWANAUME HAFOKEWI HATA KAMA AMEKOSEA. MKOSOE KWA HEKIMA YA MUNGU.


➖Mwanamke tambua hili, MME ni wa muhimu kwako.

➖Mwanamke Omba Hekima ili kujenga mji wako.

๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡


Mithali 14:1

"Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; 

Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe"


➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖

Rev. Amos

+255625313609

+255759199463

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni